• HABARI MPYA

    Wednesday, March 28, 2018

    STARS NA CHUI WA KONGO KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

    Mshambuliaji wa Tanzania na Nahodha, Mbwana Samatta (kulia) akiwatoka wachezaji wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Taifa Stars ilishinda 2-0 dhidi ya Chuo wa Kongo
    Winga wa Tanzania, Simon Msuva (kushoto) aiondoka na mpira dhidi ya Yannick Bangala wa DRC (kulia)
    Mshambuliaji wa DRC, Assombalanga Britt akijaribu kujinasua kwenye himaya ya beki wa Tanzania, Kelvin Yondan 
    Kiungo wa Tanzania, Mohammed Issa 'Banka' (kulia) akimpiga tobo mchezaji wa DRC, Glody Ngoda
    Beki wa Tanzania, Shomary Kapombe akipiga hesabu za kuuchukua mpira baada ya Aaron Tshibola wa DRC kuanguka. Kulia ni Yanick Bolasie wa DRC
    Beki wa Tanzania, Gardiel Michael akimtoka Mubele Ndombe wa DRC
    Mubele Ndombe wa Kongo akimuacha chini kiungo wa Tanzania, Himid Mao
    Winga wa Tanzania, Shiza Kichuya akimiliki mpira mbele ya Needkens Kebano wa DRC
    Kikosi cha DRC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    Kikosi cha Tanzania kabla ya mchezo wa jana uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STARS NA CHUI WA KONGO KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top