• HABARI MPYA

    Saturday, March 24, 2018

    UJERUMANI CHUPUCHUPU KUPIGWA NA HISPANIA DUSSELDORF

    Mshambuliaji wa Hispania, Diego Costa akijaribu kuurukia mpira dhidi ya mabeki wa Ujrumani kwenye boksi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa ESPRIT arena mjini Dusseldorf, Ujerumani. Timu hizo zilifungana 1-1, Rodrigo akianza kuifungia Hispania dakika ya sita kabla ya Thomas Muller kuisawazishia Ujerumani dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UJERUMANI CHUPUCHUPU KUPIGWA NA HISPANIA DUSSELDORF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top