• HABARI MPYA

    Sunday, March 25, 2018

    CHISORA NAYE ASHINDA KWA KO RAUNDI YA PILI DHIDI YA MFARANSA

    Bondia Dereck Chisora akimpiga Mfaransa, Zakaria Azzouzi katika pambano loa utangulizi kabla ya pambano la Dillian Whyte na Lucas Browne usiku wa jana ukumbi wa 02 Arenam London. Chisora alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili kabla ya kwenda kutaka kuziopiga kavu kavu na mpinzani wake wa muda mrefu, David Haye PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHISORA NAYE ASHINDA KWA KO RAUNDI YA PILI DHIDI YA MFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top