Gareth Bale akifunga bao la tatu kwa penalti dakika ya 51 na la pili kwake katika ushindi wa 3-0 wa Real Madrid dhidi ya wenyeji, Las Palmas baada ya kufunga la kwanza dakika ya 26 kwenye mchezo wa La Liga Uwana wa Gran Canaria mjini Las Palmas de Gran Canaria. Bao la pili la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment