• HABARI MPYA

    Tuesday, March 27, 2018

    NEYMAR SASA AFANYIWA ULTRASOUND ILI KUPONA HARAKA

    Huu ni mguu wa nyota wa Brazil, Neymar ambaye ni majeruhi kwa sasa ukifanyiwa ultrasound jana. Mchezaji huyo wa Paris Saint-Germain yuko nje kwa miezi mitatu tangu mwanzoni mwa mwezi huu baada ya kuumia enka PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR SASA AFANYIWA ULTRASOUND ILI KUPONA HARAKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top