Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao manne dakika za 11, 47, 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-3 wa Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Girona Uwanja wa Bernabeu na kufikisha hat trick 50 katika historia yake. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Lucas Vazquez dakika ya 59 na Gareth Bale dakika ya 86 wakati ya Girona yalifungwa na Christian Stuani dakika za 29 na 67 na Juanpe dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 charged with 2nd-degree murder in St. Patrick's Day slaying of Mexican
citizen in North End
-
Officers were called to Pritchard Avenue, between Charles and Salter
streets, where they found Diego Moscoza, 28, lying dead on the ground on
March 17, acc...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment