Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao manne dakika za 11, 47, 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-3 wa Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Girona Uwanja wa Bernabeu na kufikisha hat trick 50 katika historia yake. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Lucas Vazquez dakika ya 59 na Gareth Bale dakika ya 86 wakati ya Girona yalifungwa na Christian Stuani dakika za 29 na 67 na Juanpe dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment