Mshambuliaji Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United ndani ya dakika 10 ikishinda 2-1 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo. Rashford alifunga dakika za 14 na 24, wakati Eric Bailly alijifunga dakika ya 66 kuipatia bao pekee Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three Man United stars, two from Liverpool, and a wantaway midfielder: With
the World Cup line-up complete, who makes our XI of Premier League players
who will NOT be at the tournament?
-
Daily Mail Sport has put together an XI of Premier League stars who will be
forced to watch this summer's World Cup after their nations failed to
qualify f...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment