Mshambuliaji Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United ndani ya dakika 10 ikishinda 2-1 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo. Rashford alifunga dakika za 14 na 24, wakati Eric Bailly alijifunga dakika ya 66 kuipatia bao pekee Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England on brink of quickest Ashes surrender since 1921 as Pat Cummins and
Nathan Lyon put Australia on verge of victory
-
LAWRENCE BOOTH: Set a near-impossible 435 to prevent Australia from going
3-0 with two to play, and retaining the urn that has been theirs since
2017-18, E...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment