Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akizungumza na Wahariri wa vyombo vya Habari leo asubuhi katika hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidau
Rais Wallace Karia akichanganua mambo kwa umakini mbele ya Wahariri leo
Dua maalum ya kumuenzi aliyekuwa Mhariri wa Redio Uhuru, Limonga Justin kabla ya kuanza mkutano huo leo
Wahariri Zena Chande wa Habari Leo (kulia) na Grace Hoka wa Bingwa (kushoto) wakiandika hotuba ya Rais Wallace Karia
Mhariri wa Azam TV, Philip Cyprian akiwa kazini
Wahariri mbalimbali wa vyombo vya Habari wakiwa kazini leo
Bucks' Patrick Beverley to Play Through Wrist Injury; Was Set to Miss 3-4
Months
-
Milwaukee Bucks guard Patrick Beverley announced on The Pat Bev Pod that
he'll play through the remainder of the regular season with a wrist injury
and won't…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment