Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akizungumza na Wahariri wa vyombo vya Habari leo asubuhi katika hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidau
Rais Wallace Karia akichanganua mambo kwa umakini mbele ya Wahariri leo
Dua maalum ya kumuenzi aliyekuwa Mhariri wa Redio Uhuru, Limonga Justin kabla ya kuanza mkutano huo leo
Wahariri Zena Chande wa Habari Leo (kulia) na Grace Hoka wa Bingwa (kushoto) wakiandika hotuba ya Rais Wallace Karia
Mhariri wa Azam TV, Philip Cyprian akiwa kazini
Wahariri mbalimbali wa vyombo vya Habari wakiwa kazini leo
Premier league and oversea interest in Chelsea star who wants out
-
Chelsea winger future points towards January exit as pathway
narrowsChelsea’s reputation as a factory for elite young talent has long
been both a strength ...
25 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment