• HABARI MPYA

    Monday, March 19, 2018

    MKUTANO WA RAIS TFF, KARIA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI LEO

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akizungumza na Wahariri wa vyombo vya Habari leo asubuhi katika hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidau 
    Rais Wallace Karia akichanganua mambo kwa umakini mbele ya Wahariri leo  
    Dua maalum ya kumuenzi aliyekuwa Mhariri wa Redio Uhuru, Limonga Justin kabla ya kuanza mkutano huo leo 
    Wahariri Zena Chande wa Habari Leo (kulia) na Grace Hoka wa Bingwa (kushoto) wakiandika hotuba ya Rais Wallace Karia  
    Mhariri wa Azam TV, Philip Cyprian akiwa kazini 
    Wahariri mbalimbali wa vyombo vya Habari wakiwa kazini leo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKUTANO WA RAIS TFF, KARIA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top