Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona dakika ya 30 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao Uwanja wa Camp Nou leo, hilo likiwa bao lake la 25 katika La Liga msimu huu. Paco Alcacer ndiye alifunga bao la kwanza dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Young Gun: Michal Rosiak
-
We catch up with a member of our academy, Michal Rosiak, who discusses his
football journey and more
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment