Nyota wa Chelsea, Pedro akipiga kibendera cha kona kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi dakika ya 105 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England leo Uwanja wa King Power mjini Leicester. Alvaro Morata alianza kuifungia Chelsea dakika ya 42, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester City dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Could do with a little protection!' Buttler tries out baseball
-
Watch as England's T20 captain Jos Buttler tries his hand at baseball with
former Philadelphia Phillies second baseman Chase Utley.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment