Mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion jana Uwanja wa Old Trafford, bao la pili likifungwa na Nemanja Matic dakika ya 83 na sasa Mashetani hao Wekundu wanakwenda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment