• HABARI MPYA

    Saturday, March 17, 2018

    MAJERUHI NEYMAR AAMUA KUJIFARIJI KWA RASTA KICHWANI

    Nyota wa Brazil, Neymar ameposti picha hii yenye kuonyesha mtindo wake mpya wa nywele kwenye Instagram. Neymar ni majeruhi kwa sasa na yupo mapumziko nyumbani kwao baada ya kufanyiwa upasuaji PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAJERUHI NEYMAR AAMUA KUJIFARIJI KWA RASTA KICHWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top