Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Deion Sanders Says He'll Still Be Colorado HC in 5-10 Years amid NFL
Buzz
-
Colorado head coach Deion Sanders has long been rumored to be interested in
making a jump to the NFL, but he made it clear that he doesn't plan on
going…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment