Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Mock Draft: McCarthy to Vikings, Nix to Broncos as 5 QBs
Go Top 12
-
Now that the first wave of free agency is in the books, ESPN's Mel Kiper
Jr. has released his third mock draft of the offseason. The top four picks
remain ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment