• HABARI MPYA

    Saturday, March 10, 2018

    CHELSEA YAICHAPA CRYSTAL PALACE MABAO 2-1 DARAJANI

    Kiungo Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 25 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Martin Kelly aliyejifunga dakika ya 32, wakati la Palace limefungwa na Patrick van Aanholt dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAICHAPA CRYSTAL PALACE MABAO 2-1 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top