Kiungo Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 25 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Martin Kelly aliyejifunga dakika ya 32, wakati la Palace limefungwa na Patrick van Aanholt dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FA have a serious problem to solve after team starring Max Dowman and
Rio Ngumoha become latest crop of young stars to fall short for England
-
NATHAN SALT: And yet they won't get a shot at a tournament this summer.
Neither will England's Under-17s, but more on them shortly.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment