Kiungo Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 25 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Martin Kelly aliyejifunga dakika ya 32, wakati la Palace limefungwa na Patrick van Aanholt dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hailey Van Lith Denies TCU Transfer Rumor, Says She's 'Very Close' to
Portal Decision
-
Hailey Van Lith might not be bound for TCU after all. The former LSU guard
told Doug Feinberg of The Associated Press she is "very close" to a
decision but…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment