Kiungo Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 25 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Martin Kelly aliyejifunga dakika ya 32, wakati la Palace limefungwa na Patrick van Aanholt dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A 'novice' who can 'punch a bit' - how good is Paul?
-
BBC Sport takes a look inside Jake Paul’s camp and assesses his boxing
ability before Friday's fight with Anthony Joshua in Miami.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment