Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka mchezaji wa Al Masry ya Misri, Ahmed Abdalraof 'Shokry' Jumatano usiku katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2.
Emmanuel Okwi, mchezaji wa zamani wa Yanga alimtaabisha mno Ahmed Shokry
Siku hiyo Emmanuel Okwi aliifungia Simba SC bao la kusawazisha na kuinusuru kulala 2-1 nyumbani
Alifunga kwa penaalti iliyopatikana kwa jitihada zake mwenyewe
Former Premier League star wins court battle after 'unnecessary leg surgery
ended his top-flight career'
-
Following a trial which took place in London earlier this year, the High
Court ruled on Thursday that the surgery, known as arthroscopy, did
contribute to ...
47 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment