Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka mchezaji wa Al Masry ya Misri, Ahmed Abdalraof 'Shokry' Jumatano usiku katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2.
Emmanuel Okwi, mchezaji wa zamani wa Yanga alimtaabisha mno Ahmed Shokry
Siku hiyo Emmanuel Okwi aliifungia Simba SC bao la kusawazisha na kuinusuru kulala 2-1 nyumbani
Alifunga kwa penaalti iliyopatikana kwa jitihada zake mwenyewe
USMNT winners and losers: Christian Pulisic's slump deepens in friendlies
filled with more misses than hits
-
The USMNT's inadequacies remain unresolved and the outlook no clearer than
it was before camp, but, hey, how about that saxophonist?
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment