Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 35 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Juventus kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao lingine la la Spurs lilifungwa na Christian Eriksen dakika ya 71, baada ya Juventus kutangulia kwa mabao ya Gonzalo Higuain dakika ya pili na ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea hit with £150,000 fine after water bottle was thrown from dugout at
Aston Villa coaches
-
The identify of the actual thrower from the Blues technical area has not
been found despite an FA and club investigation.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment