Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino (kulia) akifanya mazoezi na wachezaji wenzake jana Uwanja wa Do Dragao kujiandaa na mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Porto leo usiku nchini Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Loading...
0 comments:
Post a Comment