Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Atletico Madrid dakika ya 71 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Copenhagen Uwanja wa Telia Parken mjini Copenhagen usiku wa Alhamisi katika mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Saul Niguez dakika ya 21, Kevin Gameiro dakika ya 37 na Víctor Machin Perez 'Vitolo' dakika ya 77 baada ya wenyeji kutangulia kwa bao la Viktor Fischer dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bloodbath in New York as John Harbaugh begins Giants clear-out days after
taking over as head coach
-
He joined the Giants back in 1999 and was a key part of the front office
when the team won two Super Bowls.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment