Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Atletico Madrid dakika ya 71 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Copenhagen Uwanja wa Telia Parken mjini Copenhagen usiku wa Alhamisi katika mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Saul Niguez dakika ya 21, Kevin Gameiro dakika ya 37 na Víctor Machin Perez 'Vitolo' dakika ya 77 baada ya wenyeji kutangulia kwa bao la Viktor Fischer dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment