Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za nne na 28 kwa penalti timu yake ikichapwa 3-2 na Lokomotiv Moscow katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Mabao yote ya Lokomotiv Moscow yalifungwa na Manuel Fernandes dakika za 45 kwa penalti, 69 na 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Djokovic cruises into Australian Open third round
-
Novak Djokovic will need to conserve energy if he is to make history at the
Australian Open - and he has not dropped a set in the first two rounds.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment