Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Borussia Dortmund kutoka Chelsea, akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 65 na 90 na ushei wenyeji wakitoka nyuma kwa mabao 2-1 na kushinda 3-2 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Andre Schurrle dakika ya 30, wakati ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic yote dakika za 51 na 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC star stopped for selfie by police while man is in handcuffs
-
A BBC star was left shocked after a police officer stopped him for a selfie
while another officer stood with a man in handcuffs. Matt Morsia, 40, known
by ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment