Kikosi cha Arsenal kilichoanza jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Ostersunds kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya Europa League Uwanja wa Jamtkraft Arena mjini Ostersund. Mabao ya Arsenal itakayokuwa na kazi nyepesi kwenye mchezo wa marudiano nyumbani yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 13, Sotirios Papagiannopoulos aliyejifunga dakika ya 24 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'You're joking me!': Hilarious moment Jamie Carragher's MUM calls him live
on air after Liverpool's 3-0 win against Marseille - and speaks to 'Tiarry'
Henry!
-
Jamie Carragher had his punditry duties on CBS' Champions League coverage
interrupted by a heartwarming - and hilarious - call from his mother Paula
on Wed...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment