• HABARI MPYA

    Friday, February 02, 2018

    BARCELONA YAPATA USHINDI MWEPESI NUSU FAINALI YA KWANZA KOMBE A MFALME

    Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee la ushindi dakika ya 67 ikiwapiga 1-0 Valencia katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme, Copa del Rey usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barca itatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo mwembamba kwenye mechi ya marudiano Februari 8, mwaka huu PICHA GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YAPATA USHINDI MWEPESI NUSU FAINALI YA KWANZA KOMBE A MFALME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top