Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee la ushindi dakika ya 67 ikiwapiga 1-0 Valencia katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme, Copa del Rey usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barca itatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo mwembamba kwenye mechi ya marudiano Februari 8, mwaka huu PICHA GONGA HAPA
Premier League icon looks unrecognisable in this throwback snap... so can
you figure out who the former star, who has been back in the headlines this
week, is?
-
The former midfielder, who enjoyed plenty of success in their career, will
welcome his third child later this year - 18 years after the last - after
it was...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment