Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Faninfos für das Auswärtsspiel in Leipzig
-
Am Samstag (27.04.) spielt Borussia Dortmund um 15:30 Uhr in Leipzig. Rund
4.700 Fans aus Dortmund werden den BVB unterstützen. Wir haben für alle
mitreise...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment