• HABARI MPYA

    Friday, February 02, 2018

    WENGER ALIVYOFURAHIA KUMTIA PINGU OZIL KWA PAUNI 300,000 KWA WIKI

    Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WENGER ALIVYOFURAHIA KUMTIA PINGU OZIL KWA PAUNI 300,000 KWA WIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top