Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
NFL grandfather and high school coach Philip Rivers sends his players wild
with touchdown throw vs 49ers
-
The veteran quarterback, who was coaching high school football just weeks
ago, threw two touchdown passes in a gritty display against the San
Francisco 49e...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment