Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Jerry Rice's Son Brenden, Frank Gore Jr. Top Landing Spots After 2024 NFL
Draft Day 2
-
After the first three rounds of the draft, a pair of NFL legends' sons
remain undrafted. USC wide receiver Brendan Rice, son of Jerry Rice, and
Southern Miss…
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment