Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Banished Chelsea star returns to first team training under Liam Rosenior
after almost a year in exile, leaving £325,000-a-week outcast Raheem
Sterling as last member of club's 'bomb squad'
-
KIERAN GILL: Disasi had been working separately under Rosenior's
predecessor Enzo Maresca, with Tuesday marking exactly a year since the
27-year-old last a...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment