Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment