Diego Costa akimtungua kipa wa Middlesbrough, Brad Guzan kutoka umbali wa mita sita kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 23 Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana. Chelsea ilishinda 3-0 mabao yake mengine yakifungwa na Marcos Alonso dakika ya 34 na Nemanja Matic dakika ya 64 matokeo ambayo yanaishuka daraja rasmi Boro huku Te Blues ikizidi kuukaribia ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment