Diego Costa akimtungua kipa wa Middlesbrough, Brad Guzan kutoka umbali wa mita sita kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 23 Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana. Chelsea ilishinda 3-0 mabao yake mengine yakifungwa na Marcos Alonso dakika ya 34 na Nemanja Matic dakika ya 64 matokeo ambayo yanaishuka daraja rasmi Boro huku Te Blues ikizidi kuukaribia ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal vs Manchester United - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as revitalised name an unchanged starting XI for trip to rivals
- as Mikel Arteta makes four changes from win over Inter
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Arsenal host Manchester United at the Emirates Stadium.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment