Wachezaji wa Barcelona wakielekea katikati ya Uwanja kinyonge kuanzisha tena mchezo baada ya kufungwa mabao 4-0 na wenyeji PSG usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria mawili dakika za 18 na 55, Julian Draxler dakika ya 40 na Edinson Cavani dakika ya 71 na sasa Barca watatakiwa kushinda 5-0 Camp Nou kwenye mchezo wa marudiano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment