Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Ludogorets ya Bulgaria usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alexis Sanchez, Theo Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Winnipeg woman dies after 11-hour wait in ER
-
A Winnipeg woman died at St. Boniface Hospital after waiting 11 and 12
hours on two separate visits. Now the family is waiting to learn the cause
of death,...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment