Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Ludogorets ya Bulgaria usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alexis Sanchez, Theo Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment