Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 4-0 wa Barcelona dhidi ya Manchester City usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Neymar ambaye pia alikosa penalti kwenye mchezo huo ambao wachezaji wawili walitolewa kwa kadi nyekundu, kipa wa Man City Claudio Bravo dakika ya 53 kwa kudakia nje ya boksi na Jeremy Mathieu wa Barcelona baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Italy in talks with U.S., Azerbaijan, Algeria to offset loss of gas from
Qatar
-
By Elvira Pollina MILAN, March 20 (Reuters) - Italy is talking to several
countries, including the United States, Azerbaijan and Algeria, to secure
gas sup...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment