• HABARI MPYA

    Saturday, October 29, 2016

    GIROUD, SANCHEZ KILA MMOJA AFUNGA MAWILI ARSENAL YAITANDIKA 4-1 SUNDERLAND

    Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Francis Coquelin baada ya kufunga mabaoi mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Sunderland Uwanja wa Light. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa Alexis Sanchez wakati la Sunderland lilifungwa na Jermain Defoe PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD, SANCHEZ KILA MMOJA AFUNGA MAWILI ARSENAL YAITANDIKA 4-1 SUNDERLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top