Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akiwasili mjini Mwanza jana na timu yake Azam FC kwa ajili ya mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Toto Jumatano na Mbao FC Jumamosi Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza
Beki Shomary Kapombe ambaye kama Singano walijiunga na Azam wakitokea Simba SC
Kiungo wa zamani wa Yanga, Frank Domayo naye yumo kwenye msafara wa Azam mjini Mwanza
Kocha wa Azam, Mspaaniola Zeben Hernandez Rodriguez ambaye timu yake juzi ilishinda 3-2 dhidi ya wenyeji Kagera Sugar mjini Bukoba
Wachezaji wa Azam wakitoa kwenye mizigo kwenye basi lao mara baada ya kuwasili Mwanza
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment