Daniel Sturridge akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kufunga mabao yote ya Liverpool katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa 16 Bora ya Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Anfield. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti zikiwa zimebaki dakika 14 baada ya Erik Lamela kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matteo Guendouzi 'has NO future at Arsenal as Mikel Arteta informs him he will be sold this summer'
-
Guendouzi's move to Germany came following two big bust ups with Arteta
last year at Arsenal and there appears to be no way back for the
21-year-old.
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment