Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal Supporters Trust slam club's decision not to fully renew fans' silver membership next season
-
The Gunners' silver membership grants supporters priority access to
purchase matchday tickets, and costs £59, but the coronavirus pandemic has
severely lim...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment