Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment