Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana winger Fatawu Issahaku disappointed after Leicester FA Cup exit
-
Abdul Fatawu Issahaku has expressed disappointment following Leicester
City's FA Cup exit after a late defeat to Chelsea at Stamford Bridge. The
20-year-o...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment