• HABARI MPYA

    Wednesday, October 26, 2016

    OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA ZOTE MBILI, ARSENAL YAUA 2-0

    Alex Oxlade-Chamberlain akimtungua kipa wa Reading, Ali Al-Habsi kufungia bao la kwanza kati ya yote mawili aliyoifungia Arsenal katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa 16 Bora Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA ZOTE MBILI, ARSENAL YAUA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top