Arjen Robben akiondoka na mpira baada ya kuifungia Bayern Munich bao la nne katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thomas Muller, Joshua Kimmich na Robert Lewandowski wakati la PSV lilifungwa na Luciano Narsingh PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No clear timescale on Murray's return from injury
-
Andy Murray will not compete at April's Monte Carlo Masters and BMW Open
after he ruptured ankle ligaments at the Miami Open.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment