Arjen Robben akiondoka na mpira baada ya kuifungia Bayern Munich bao la nne katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thomas Muller, Joshua Kimmich na Robert Lewandowski wakati la PSV lilifungwa na Luciano Narsingh PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB to produce local broadcasts for 6 more teams with fate of FanDuel
Sports Network uncertain
-
The Cincinnati Reds, Kansas City Royals, Miami Marlins, Milwaukee Brewers,
St. Louis Cardinals and Tampa Bay Rays said Monday they will have their
local te...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment