• HABARI MPYA

    Sunday, October 30, 2016

    DEWJI ALIVYOTUMIA MADARAKA YAKE STARS KUMHAMISHIA CHINA SIMBA SC

    Meneja wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Azim Dewji akiwa na kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China mwaka 1992 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam (DIA), sasa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kabla ya safari ya timu hiyo. Dewji pia alikuwa mfadhili wa Simba SC, timu ambayo China alijiunga nayo baadaye mwaka 1994.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEWJI ALIVYOTUMIA MADARAKA YAKE STARS KUMHAMISHIA CHINA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top