Mshambuliaji Sadio Mane akiunganisha pasi ya Roberto Firmino kuifungia Liverpool bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Bromwich Albion leo Uwanja Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho, wakati la wageni lilifungwa na Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment