Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Kibadeni (8) akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake Julai 19, mwaka 1977 katika mchezo wa Klabu Bingwa ya Taifa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Simba ilishinda 6-0, Kibadeni akifunga mabao matatu dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na Selemani Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
Arsenal Supporters Trust slam club's decision not to fully renew fans' silver membership next season
-
The Gunners' silver membership grants supporters priority access to
purchase matchday tickets, and costs £59, but the coronavirus pandemic has
severely lim...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment