• HABARI MPYA

    Sunday, October 23, 2016

    SIKU SIMBA INAIPIGA YANGA 6-0 KIBADENI AKIPIGA HAT TRICK

    Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Kibadeni (8) akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake Julai 19, mwaka 1977 katika mchezo wa Klabu Bingwa ya Taifa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Simba ilishinda 6-0, Kibadeni akifunga mabao matatu dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na Selemani Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIKU SIMBA INAIPIGA YANGA 6-0 KIBADENI AKIPIGA HAT TRICK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top