• HABARI MPYA

    Sunday, October 23, 2016

    KELECHI IHEANACHO AINUSURU MAN CITY KULALA NYUMBANI

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Kelechi Iheanacho akiifungia Manchester City bao la kusawazisha dakika ya 55 katika sare ya 1-1 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Bao la Southampton lilifungwa na  Nathan Redmond dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KELECHI IHEANACHO AINUSURU MAN CITY KULALA NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top