Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Rumors: Blake Snell, Giants Agree to 2-Year, $62M Contract amid Astros
Buzz
-
The San Francisco Giants snagged the best starting pitcher still on the
market, agreeing to terms with Blake Snell on a two-year, $62 million
contract,…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment