Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akimtoka Aymeric Laporte wa Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Karim Benzema na Alvaro Morata, wakati la Bilbao lilifungwa na Sabin Merino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Empowering women: Not just smart politics but the right thing to do
-
Every year, on March 8th, countries and communities around the world
celebrate International Women’s Day (IWD). This year, it is being held
against the b...
1 minute ago
0 comments:
Post a Comment