Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akimtoka Aymeric Laporte wa Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Karim Benzema na Alvaro Morata, wakati la Bilbao lilifungwa na Sabin Merino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment