Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
Man Utd face up to 'massive' loss of injured Fernandes
-
Manchester United's injury problems worsened as captain and talisman Bruno
Fernandes was replaced in a 2-1 defeat by Aston Villa.
34 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment