• HABARI MPYA

    Sunday, February 26, 2012

    SIMBA WAUNGANA NA PRIME TIME PROMOTIONS KUWAANGAMIZA KIYOVU

    MKURUGENZI wa Primetime Promotions Joseph Kusaga (Kulia) akishikana mkono na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' mara baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano katika kuratibu mchezo wa marudiano wa kombe la Shirikisho baina ya Simba na Kiyovu ya Rwanda utakaopigwa Jumamosi ya Machi 4 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA WAUNGANA NA PRIME TIME PROMOTIONS KUWAANGAMIZA KIYOVU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top