Mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani, Youssou N'Dour akiwa katika Mkutano wa wapinzani kabla ya kutawanywa na Polisi katikati ya Jiji la Dakar leo. Wapinzani Senegal wanaomba ulinzi mpya kufuatia hofu inayotokana na vurugu zinazoendela kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu ambao rais Abdoulaye Wade anawania kwa mara ya tatu mfululizo ingawa anapingwa na wengi. Youssou N'Dour anagombea urais.
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment