Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono leo jijini Dar
es Salaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza kwa tofauti zao zilizotokana
na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Huku wapatanisha wa
mgogoro huo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi
(kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia.
(Picha na Anna Nkinda - Maelezo)
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment