Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono leo jijini Dar
es Salaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza kwa tofauti zao zilizotokana
na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Huku wapatanisha wa
mgogoro huo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi
(kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia.
(Picha na Anna Nkinda - Maelezo)
Cronulla Sharks star Braydon Trindall stood down after failed roadside
booze, drugs tests
-
Braydon Trindall will not play this weekend and is now being investigated
by the NRL integrity unit after the Sharks five-eighth failed initial
roadside al...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment