Mshambuliaji wa Uholanzi Robin van Persie anayechezea Arsenal ya England, akimiliki mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa kwenye Uwanja wa Wembley jana, tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya England kwenye Uwanja huo huo.Kumbuka huyu ndiye mfungaji bora wa mabao katika Ligi Kuu ya England inayoendelea hivi sasa. Je, England wana beki wa kumzuia Van Mabao asiwafunge?
Back in the swing
-
Some of United's internationals return to training ahead of the Brentford
clash...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment