• HABARI MPYA

    Sunday, February 26, 2012

    SUGU MGUU SAWA KWA DKT.GHARIB BILAL

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr. ii au Sugu’, wakati akiondoka eneo la Uyole, baada ya kuweka jiwe la msingi katika jengo la SACCOS-UWAMU lililopo Mbeya mjini, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Mbeya jana Februari 25, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUGU MGUU SAWA KWA DKT.GHARIB BILAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top