• HABARI MPYA

    Saturday, February 25, 2012

    SARE YA UGENINI YAMPAGAWISHA KOCHA MPYA WOLVES

    Kocha mpya wa Wolverhampton Wanderers, Terry Connor (kulia) akishangilia sare ya  2-2 dhidi ya Newcastle katika mechi ya Ligi Kuu ya England na beki Mfaransa Ronald Zubar (kushoto) kwenye Uwanja wa Sports Direct Arena mjini Newcastle, kaskazini mashariki mwa England leo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SARE YA UGENINI YAMPAGAWISHA KOCHA MPYA WOLVES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top