KOCHA wa timu ya taifa ya Hispania, Vicente del Bosque amemtema mshambuliaji wa Chelsea, Fernando Torres kwenye kikosi cha mabingwa hao wa Ulaya na Dunia kitakachocheza mechi ya kirafiki dhidi ya
Venezuela mjini Malaga Jumatano. Del Bosque amesema kutakuwa na mabadiliko kwenye kikosi kabla ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya itakayofanyika Ukraine na Poland, kwani anataka kiundwe na wachezaji ambao wamekuwa wakicheza vizuri siku za karibuni. "Ni babu kubwa, tunamkubali na inaniuma kumuacha, lakini lazima nitende haki," alisema Del Bosque kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari.
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment