• HABARI MPYA

    Wednesday, October 02, 2019

    STERLING ATOKEA BENCHI NA KUFUNGA MAN CITY YASHINDA 2-0 ULAYA

    Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 66, zikiwa ni dakika 10 tu tangu aingie kuchukua nafasi ya Bernardo Silva kabla ya Phil Foden kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STERLING ATOKEA BENCHI NA KUFUNGA MAN CITY YASHINDA 2-0 ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top