Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 66, zikiwa ni dakika 10 tu tangu aingie kuchukua nafasi ya Bernardo Silva kabla ya Phil Foden kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jazz's Donovan Mitchell Rips Refs After Ejection vs. 76ers: 'F--king Ridiculous'
-
Donovan Mitchell was not pleased following Wednesday's 131-123 overtime
loss to the Philadelphia 76ers ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment